• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

Idara ya Afya

MAJUKUMU NA KAZI ZA IDARA YA AFYA

  1. Kuandaa mipango kabambe ya afya ambayo inatilia mkazo mahitaji yote ya afya ya halmashauri kwa kuzingatia mwongozo wa Kitaifa wa Wilaya wa mipango ya afya
  2. Kuhakikisha kuwa hospitali, vituo vya afya na zahanati zinatekeleza shughuli za afya, na jamii inamiliki rasilimali kama inavyoelekeza mpango kabambe wa afya wa halmashauri
  3. Kuhakikisha upatikanaji wa usafiri, dawa muhimu, chanjo, madawa, vifaa vya tiba, vifaa na kemikali za maabara katika hospitali, vituo vya afya na zahanati
  4. Kuwa tayari kukabiliana na magonjwa ya milipuko, maafa na kupanga mipango ya kudhibiti na kuzuia
  5. Kuhakikisha kuwa watumishi wa afya walioko katika ngazi mbalimbali kwenye halmashauri wanapata nyenzo za kuwawezesha kufanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa shughuli za afya
  6. Kuhakikisha kuwa huduma za afya zitolewazo zinalingana na viwango vya kitaifa.
  7. Kuhakikisha kuwa halmashauri inazingatia na kufuata sheria zilizowekwa, kanuni, maadili ya kitaalamu na mwenendo wa tabia wa viongozi na watumishi
  8. Kuhakikisha kuwa watumishi wa afya wanakusanya takwimu, wanazichambua, wanazitumia katika mipango, wanatekeleza mipango hiyo na wanatoa mrejesho
  9. Kutambua maeneo ya kipaumbele, kusimamia na kufanya utafiti wa utendaji kazi katika halmashauri
  10. Kujumuisha na kuchambua taarifa za utekelezaji na fedha za robo mwaka na kuziwasilisha kwa Bodi ya Afya ya halmashauri na timu ya uendeshaji wa huduma za afya ya mkoa
  11. Kusimamia mikutano ihusuyo wataalamu wa afya wanaotoa huduma za afya kwenye halmashauri ili kuweza kutambua na kuratibu shughuli zote za afya
  12. Kusimamia na kusaidia huduma za afya ambazo zipo nje na zilizoko mbali kutoka vituo vya kutolea huduma za afya (“outreach services”)
  13. Kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa shughuli za afya kwenye halmashauri
  14. Kumshauri Mkurugenzi Mtendaji kuhusu masuala yote ya afya ndani ya Wilaya

Matangazo

  • Tangazo la kazi April 17, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira February 21, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA February 16, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira January 30, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • WANANCHI KARIBUNI TUMPOKEE MAKAMU WA RAIS – DC MWAIPAYA

    March 15, 2024
  • SERIKALI YAIPATIA SHULE YA MSINGI MWERO MILIONI 178.3

    October 12, 2023
  • MHE. TADAYO ATOA PONGEZI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO, ASEMA WILAYA INA VIONGOZI SAHIHI

    September 20, 2023
  • KIKUNDI CHA UTAMADUNI KUTOKA MWANGA KIMEULETEA MKOA WA KILIMANJARO USHINDI KWA AWAMU YA PILI MFULULIZO

    August 27, 2023
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa