• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

99% YA MAPATO YA HALMASHAURI YA MWANGA 2017/18 YAMESHAKUSANYWA

Posted on: May 8th, 2018

Ikiwa imebaki miezi miwili kufunga mwaka wa Serikali wa 2017/2018, Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga imefanya vizuri sana kwa kuweza kukusanya mapato kwa asilimia 99.09. Hii ni ishara kuwa, Halmashauri imesimama vizuri kwenye kusimamia mapato ya Serikali hususani mapato ya ndani.

Bajeti ya mwaka wa fedha 2017/18 iliyokuwa imetengwa na Halmashauri ni Tsh. 2,150,130,000.00 ambapo hadi kufikia wiki ya kwanza ya mwezi mei, Halmashauri ilikuwa imeshakusanya kiasi cha Tsh. 2,130,648,266.99 sawa na asilimia 99.09. Kwa makusanyo haya, hadi kumalizika kwa wiki ya pili ya mwezi mei, Halmashauri itakuwa imeshafikia lengo lake la kukusanya mapato ya Tsh. 2,150,130,000 sawa na asilimia 100.

Akiwa anaeleza sababu zilizopelekea kufikia asilimia hizi, wakati kukiwa bado kuna miezi miwili ya kuendelea kukusanya mapato kwa mwaka 2017/18, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Ndg Golden A. Mgonzo amesema, Halmashauri imeweza kufikia asilimia hizo kwasababu ya usimamizi mzuri unaofanywa na ofisi yake. Ameendelea kusema kuwa, kazi kubwa na nzuri imeendelea kufanywa na kikosi kazi chake alichokiunda cha kufuatilia na kukusanya mapato ya Halmashauri. Mkurugenzi ameendelea kueleza kwamba, Bwawa la Nyumba ya Mungu, huwa ni sehemu ya chanzo muhimu sana cha kuiingizia Halmashauri mapato lakini Bwawa hili lilifungwa kwa miezi sita. Japokuwa Bwawa hili limefungwa, bado Halmashauri imeendelea kukusanya mapato yake vizuri na kupelekea kufikiwa hizo asilimi, alisema Mkurugenzi.

Akieleza sababu zingine zilizopelekea kufikia kiwango kikubwa cha ukusanyaji wa mapato, alisema, mapato ya ushuru wa huduma kwa mteja na mapato ya vibali vya ujenzi yalikuwa hayakusanywi vizuri. Lakini toka yaanze kufuatiliwa kwa ukaribu na kikosi kazi cha mapato, Halmashauri imeendelea kukusanya fedha nyingi kutoka kwenye hivi vyanzo.

Kwa kiwango hiki kilichofikiwa na Halmashauri ni ishara tosha kuwa Serikali iliyoko madarakani inaendelea kufanya kazi kwa bidii na kwa uadilifu mkubwa.

Matangazo

  • Tangazo la kazi April 17, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira February 21, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA February 16, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira January 30, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • WANANCHI KARIBUNI TUMPOKEE MAKAMU WA RAIS – DC MWAIPAYA

    March 15, 2024
  • SERIKALI YAIPATIA SHULE YA MSINGI MWERO MILIONI 178.3

    October 12, 2023
  • MHE. TADAYO ATOA PONGEZI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO, ASEMA WILAYA INA VIONGOZI SAHIHI

    September 20, 2023
  • KIKUNDI CHA UTAMADUNI KUTOKA MWANGA KIMEULETEA MKOA WA KILIMANJARO USHINDI KWA AWAMU YA PILI MFULULIZO

    August 27, 2023
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa