• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

DC, MWANGA, AAGIZA M/KITI WA KIJIJI NA MTENDAJI, KUWEKWA NDANI

Posted on: March 12th, 2019

Asema, wakahojiwe, ni kwanini msitu wa hifadhi uvamiwe.

Mhe. Mkuu wa Wikaya ya Mwanga, Ndg. Thomas C. Apson, ameviagiza vyombo vya usalama kuwaweka ndani na kuwahoji M/Kiti wa Kijiji cha Kileo Ndg. Kazeni J. Mcharo na Mtendaji wa Kijiji hicho, Bi. Rista Sumpa, kwa kushindwa kusimamia msitu wa hifadhi wa Kileo, ambapo msitu huo, umevamiwa na watu wasiokuwa na moyo wa kizalendo wa kutunza mazingira na kusababisha uharibifu wa mazingira.

Akiwa ameongozana na kamati yake ya Ulinzi na Usalama, Mhe. Apson, amesikitishwa baada ya kushuhudia, eneo kubwa la hifadhi ya msitu huo, ambao ni sehemu ya chanzo cha maji, likiwa limekatwa miti huku kukiwa na zaidi ya matanuru 12, mengine yakiwa yanafuka moshi na mengine yakiwa kwenye hatua za kuwashwa moto kwa ajili ya kupata mkaa.

Katika kuhakikisha kuwa, uvamizi na uchomaji mkaa katika hifadhi ya msitu huo haiendelei, jumla ya watu nane wakiwemo wanaume 7 na mwanamke 1, wamekamatwa wakiwa ndani ya hifadhi ya msitu huo, wakiwa wanakata miti na kuchoma mkaa, na wamefikishwa polisi huku taratibu za kuwapeleka mahakamani zikiendelea. "Tunawapenda sana wananchi wetu, lakini kwenye makosa kama haya, watatusamehe, na ukiwaangalia hawa wahalifu, maisha yao ni ya chini, ila sheria lazima ifuatwe, alisema Mhe. DC."

Mhe. Dc ametoa wito kwa wananchi wa Kileo na Mwanga kwa ujumla kuwa, waache kuharibu misitu, kwani kufanya hivyo ni kuchezea mustakabali wa maisha yao wenyewe, sambamba na kuathiri uchumi wa nchi na maisha ya watanzania kwa ujumla.




Matangazo

  • Tangazo la kazi April 17, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira February 21, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA February 16, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira January 30, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • WANANCHI KARIBUNI TUMPOKEE MAKAMU WA RAIS – DC MWAIPAYA

    March 15, 2024
  • SERIKALI YAIPATIA SHULE YA MSINGI MWERO MILIONI 178.3

    October 12, 2023
  • MHE. TADAYO ATOA PONGEZI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO, ASEMA WILAYA INA VIONGOZI SAHIHI

    September 20, 2023
  • KIKUNDI CHA UTAMADUNI KUTOKA MWANGA KIMEULETEA MKOA WA KILIMANJARO USHINDI KWA AWAMU YA PILI MFULULIZO

    August 27, 2023
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa