• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

HONGERENI WATUMISHI WA MWANGA, DED MWANGA

Posted on: November 4th, 2019

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga, Ndg. Zefrin K. Lubuva, amewapongeza watumishi wa Halmashauri yake kwa kuweza kutimiza adhma ya Serikali kwa kuvitangaza vivutio vya ndani vya utalii.

Mkurugenzi mtendaji aliyazungumza hayo tarehe 04.11.2019wakati alipojumuika na watumishi wake kutembelea Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro iliyopo Mkoani Arusha. Alisema kuwa, watumishi wamefanya kitu kizuri kwani,  ilani ya Serikali ilyopo madarakani imetamka wazi kuwa, utalii lazima ukuwe kwa kupitia njia mbalimbali, ikiwemo kuutangaza kupitia taasisi za umma. Aliendelea kusema kuwa, Halmashauri ya Mwanga, kwa kupitia watumishi wake wametekeleza kwa vitendo ilani ya ya Serikali kwa kuutangaza utalii.

Nao watumishi waliosafiri katika safari hiyo hawakuacha kuelezea furaha yao katika safari hiyo. Wakiongea kwa nyakati tofauti walisema, tumefurahi sana kutembelea moja wapo ya vivutio maarufu hapa Tanzania na tunamshukuru sana Mkurugenzi wetu kwa kuungana na sisi na pia tunamshukuru kwa kutupa kibali cha kuja katika hifadhi ya Ngorongoro, aliongea mmojawapo wa watumishi.

Hata hivyo watumishi hawakuacha kuweka wazi dhamira yao ya kuendelea na moyo wa kuvitangaza vivutio vya kitalii vya nchi kwa kusema, wakati mwingine watatembelea vivutio vya sehemu zingine zenye vivutio vya kitalii ili kuendelea kuutangaza utalii wa nchi.

Serikali imekuwa ikiwahimiza sana wananchi kutembelea vivutio vya kitalii vilivyoko hapa nchini. Na kwa kulizingatia hilo, Serikali imeweka gharama za chini kwa wazawa wanaotaka kutembelea maeneo hayo. 

Hata hivyo, inatakiwa watanzania tuendelee kuwa na utamaduni wa kutembelea vivutio vyetu kwani Serikali imeweka jitihada za makusudi za kuhakikisha vivutio hivyo, vinalindwa kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vya baadae.

Matangazo

  • Tangazo la kazi April 17, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira February 21, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA February 16, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira January 30, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • WANANCHI KARIBUNI TUMPOKEE MAKAMU WA RAIS – DC MWAIPAYA

    March 15, 2024
  • SERIKALI YAIPATIA SHULE YA MSINGI MWERO MILIONI 178.3

    October 12, 2023
  • MHE. TADAYO ATOA PONGEZI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO, ASEMA WILAYA INA VIONGOZI SAHIHI

    September 20, 2023
  • KIKUNDI CHA UTAMADUNI KUTOKA MWANGA KIMEULETEA MKOA WA KILIMANJARO USHINDI KWA AWAMU YA PILI MFULULIZO

    August 27, 2023
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa