• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, YATOA MAELEKEZO

Posted on: May 6th, 2021

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga, jana tarehe 05 mei, 2021, ilitembelea miradi minne ya maendeleo iliyopo hapa Wilayani Mwanga. Katika miradi hiyo, miradi miwili ni ya afya na mingine miwili ni ya elimu.

Miradi ya afya iliyokaguliwa ni pamoja na mradi wa kituo cha afya Kigonigoni ambao una thamani ya Tsh. 440,551,415 na mradi wa afya Kisangara wenye thamani ya Tsh. 488,917,910.

Miradi ya elimu iliyotembelewa ni mradi wa maabara shule ya sekondari Kwangu, mradi ambao unahusisha ukarabati wa maabara. Thamani ya mradi huu ni Tsh. 35,432,000. Mradi mwingine wa elimu ni mradi wa ujenzi wa madarasa matatu, choo matundu saba na bweni moja katika shule ya msingi Kwamavusha. Mradi huu una thamani ya Tsh.155,159,000.

Sambamba na zoezi la utembeleaji wa miradi hiyo, kamati ilitoa maelekezo kuwa, mkataba wa kituo cha afya kigonigoni uvunjwe na kutafuta mafundi wengine kwani mafundi wameshindwa kumaliza kazi kwa wakati kwa mujibu wa mkataba. Kamati pia ilibaini uwepo wa upotevu wa vitasa 40 vya milango katika kituo hicho na kuagiza kuwa, Mkurugenzi Mtendaji amchukulie hatua za kinidhamu mtumishi aliyehusika na upotevu wa vitasa hivyo. Pia kamati ilibaini uwepo wa vifaa vilivyokwisha muda wa matumizi na kuagiza kuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa mtumishi aliyehusika na ununuzi wa vifaa hivyo katika kituo hicho cha Kigonigoni.

Katika kituo cha afya Kisangara, kamati ilimuagiza Mwandisi wa Ujenzi Wilaya kwa kushirikiana na mkaguzi wa ndani Wilaya kuhakikisha kuwa, wanafanya tathmini upya ya gharama za kumalizia ujenzi wa njia ya wagonjwa (Walk Way) na gharama za umaliziaji wa jengo la kuhifadhia maiti na kufulia kisha kuwasilisha taarifa katika kamati ya fedha, uongozi na mipango. Pia Mkaguzi wa ndani ameagizwa kuwa, ahakikishe anafanya ukaguzi wa matumizi ya fedha zilizotumika katika mradi wa kituo hicho.
Kwa upande wa miradi ya elimu, kamati ilitoa pongezi kuwa, miradi ni mizuri na kazi inaridhisha. Aidha kamati ilitoa maelekezo kuwa, hatua ya umaliziaji iliyobaki kwenye miradi hiyo iende kwa wakati ili miradi ianze kutumika.


Matangazo

  • Tangazo la kazi April 17, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira February 21, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA February 16, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira January 30, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • WANANCHI KARIBUNI TUMPOKEE MAKAMU WA RAIS – DC MWAIPAYA

    March 15, 2024
  • SERIKALI YAIPATIA SHULE YA MSINGI MWERO MILIONI 178.3

    October 12, 2023
  • MHE. TADAYO ATOA PONGEZI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO, ASEMA WILAYA INA VIONGOZI SAHIHI

    September 20, 2023
  • KIKUNDI CHA UTAMADUNI KUTOKA MWANGA KIMEULETEA MKOA WA KILIMANJARO USHINDI KWA AWAMU YA PILI MFULULIZO

    August 27, 2023
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa