• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

MHE. MAKAMU WA RAIS AWAPONGEZA WANANCHI WA MWANGA, AWAASA VIONGOZI KUZINGATIA UTAWALA BORA

Posted on: November 13th, 2018

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, jana alifanya ziara yake ya kikazi Wilayani Mwanga na kuweza kuweka jiwe la msingi kwenye mradi wa maji ambapo ni mradi mkubwa wa Kitaifa unaogharimu takribani shilingi bilioni 336. Mradi huu unategemewa kuwanufaisha wananchi wa wilaya tatu za Mwanga, Same na Korogwe.

Akiwa anawahutubia wananchi wa Mwanga, Mhe. Makamu wa Rais, aliwashukuru na kuwapongeza wananchi wa Mwanga kwa kuendelea kutunza na kudumisha amani kwenye wilaya. Alisema kuwa, amani ni jambo la msingi na inapaswa kudumishwa na kutunzwa kwani pasipo amani, hata maendeleo hayatakuwepo. Pia aliwapongeza wananchi kwa kuendelea kuzalisha chakula na kuhakikisha wanapata chakula cha kutosha kwa ajili ya kuendesha maisha yao ya kila siku.

Mhe. Makamu wa Rais pia hakuacha kukemea tabia ya baadhi ya viongozi wa nchi kuacha kuzingatia uongozi na utawala bora. Alisema kuwa, viongozi wa nchi wasiposhirikiana kwenye utendaji pale wanapokuwa kwenye maeneo yao ya kazi, hapatakuwepo na maendeleo. Pia hakuacha kuwaomba wanachi kuhakikisha kuwa, mwaka 2019 ambao utakuwa mwaka wa uchaguzi wa Serikali za mitaa, kuchagua viongozi wazuri, wepesi na wenye uchu wa maendeleo kwa wanachi wa Mwanga.

Akizungumzia suala la upungufu wa walimu shuleni, Mhe Makamu wa Rais alisema, Serikali inalitambua hilo na itajitahidi kuhakikisha inapunguza tatizo la upungufu wa zaidi ya walimu 300 ambapo ni upungufu mkubwa. Sambamba na hilo amewasisitiza viongozi wa Halmashauri kuendelea kukusanya mapato kwa bidii kubwa ili kuendelea kumalizia miradi midogo kama zahanati na vituo vya afya. Alisema, serikali kuu ina miradi mingi na mikubwa inayo iendesha, hivyo halmashauri wahakikishe miradi midogo wanaimalizia na kuiendeleza.

Matangazo

  • Tangazo la kazi April 17, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira February 21, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA February 16, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira January 30, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • WANANCHI KARIBUNI TUMPOKEE MAKAMU WA RAIS – DC MWAIPAYA

    March 15, 2024
  • SERIKALI YAIPATIA SHULE YA MSINGI MWERO MILIONI 178.3

    October 12, 2023
  • MHE. TADAYO ATOA PONGEZI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO, ASEMA WILAYA INA VIONGOZI SAHIHI

    September 20, 2023
  • KIKUNDI CHA UTAMADUNI KUTOKA MWANGA KIMEULETEA MKOA WA KILIMANJARO USHINDI KWA AWAMU YA PILI MFULULIZO

    August 27, 2023
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa