• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

SERIKALI IPO KAZINI, SHULE YA SEKONDARI KIVISINI YAANZA KUJENGWA, MIRADI MINGINE YAPATIWA FEDHA ZA KUTOSHA

Posted on: January 26th, 2022

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Bi. Mwajuma A. Nasombe jana amefanya ziara ya kutembelea miradi mbalimbali ya elimu na afya katika kata za Mwanga na Kivisini na kujionea namna ujenzi wa miradi hiyo unavyokwenda. Katika ziara yake hiyo, Bi. Nasombe amefurahishwa kwa kuona miradi hiyo ipo katika hatua mbalimbali huku mingine ikiwa imesha kamilika.

Katika Kata ya Kivisini, Mkurugenzi aliweza kutembelea eneo ambalo shule mpya ya sekondari ya Kivisini inajengwa, pia alifika na kuona mradi wa zahanati ya kijiji cha Kitoghoto pamoja na ofisi ya kijiji cha Kitoghoto.

Mradi wa ujenzi wa shule ya Sekondari Kivisini umepatiwa kiasi cha fedha za kitanzania milioni 470 na mara mradi huu utakapokamilika utakuwa na tija kubwa kwa wanafunzi wanaomaliza darasa la saba katika kata ya Kivisini na kata za jirani pamoja na Wilaya ya Mwanga kwa ujumla. Aidha, mradi wa zahanati ya kijiji cha Kitoghoto ni mradi ambao upo katika hatua ya umaliziaji. Mradi huu umeshapatiwa kiasi cha shilingi za kitanzania milioni 50 ili uweze kukamilika na kuanza kutumika. Mradi mwingine ambao Halmashauri imeupatia fedha kwa ajili ya kuuendeleza ni mradi wa Zahanati ya Kitoghoto, mradi umepatiwa kiasi cha shilingi milioni 13 za mapato ya ndani na shilingi milioni 5 kutoka kwenye mfuko wa jimbo wa ofisi ya Mbunge wa Mwanga.

Mradi mwingine alioweza kutembelea Mkurugenzi ni mradi wa ujenzi wa madarasa matatu na ofisi moja katika shule ya Sekondari Mandaka. Mradi huu una thamani ya fedha kiasi cha milioni 60 na umesha kamilika.

Mkurugenzi wa Mwanga amekuwa na utaratibu wa kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo  kwa lengo la kujionea na kujiridhisha kama miradi hiyo inakwenda vizuri pamoja na kujionea changamoto zilizopo ili serikali iweze kukabiliana nazo kwa wakati. Hata hivyo, ameendelea kufurahishwa kwa namna miradi inavyokwenda vizuri na kwa kasi inayo ridhisha.

Matangazo

  • Tangazo la kazi April 17, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira February 21, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA February 16, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira January 30, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • WANANCHI KARIBUNI TUMPOKEE MAKAMU WA RAIS – DC MWAIPAYA

    March 15, 2024
  • SERIKALI YAIPATIA SHULE YA MSINGI MWERO MILIONI 178.3

    October 12, 2023
  • MHE. TADAYO ATOA PONGEZI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO, ASEMA WILAYA INA VIONGOZI SAHIHI

    September 20, 2023
  • KIKUNDI CHA UTAMADUNI KUTOKA MWANGA KIMEULETEA MKOA WA KILIMANJARO USHINDI KWA AWAMU YA PILI MFULULIZO

    August 27, 2023
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa