• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

SERIKALI YAIPATIA SHULE YA MSINGI MWERO MILIONI 178.3

Posted on: October 12th, 2023

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (TASAF), imeipatia shule ya Msingi Mwero iliyopo kata ya Kirongwe fedha za kitanzania shilingi milioni 178,392,857.

Akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Mwero, jana tarehe 11.10.2023, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Bi. Mwajuma A. Nasombe amewaambia wananchi hao kwamba, serikalai imeleta fedha hizo kwa ajili ya ujenzi wa madarasa mapya mawili, vyoo matundu 6, nyumba ya watumishi wawili (2 in 1) na ofisi moja.

Mkurugenzi Mtendaji amewataka wananchi wa kijiji hicho kuhakikisha kwamba, wanatoa ushirikiano kwenye mradi huo mara utekelezaji wake utakapo anza. Amewaambia kwamba, wananchi wanapaswa kuchangia asilimia kumi kwenye mradi na asilimia hii itakuwa ni pamoja na kuchangia vifaa vya ujenzi na nguvu kazi zao.

Naye Afisa Ufuatiliaji wa TASAF Wilaya ya Mwanga Ndugu Joseph Elieza, aliwaeleza wananchi wa Kijiji hicho kuwa, Mwero imepata bahati ya kipekee kuupata mradi huu, hivyo wanapaswa kutoa ushirikiano wakati wa ujenzi na kuhakikisha kuwa mradi huo unalindwa na kutunzwa vizuri mara utakapo kamilika. Pia amewahakikishia wananchi hao kuwa, mradi huo utakamilika kwa wakati na kwa ubora uliokusudiwa.

Aidha Diwani wa Kata ya Kirongwe, Mhe. Sarumbo Mkono, ameishukuru Serikali kwa kuweza kuwaletea mradi huo kwani, mradi huo umekuja kwa wakati muafaka. Ameahidi kutoa ushirikiano yeye na wananchi wake kwa kujitoa wakati wote ili mradi huo ukamilike kwa wakati na uweze kuwanufaisha wananchi pamoja na watotom wao.

 

Matangazo

  • Tangazo la kazi April 17, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira February 21, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA February 16, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira January 30, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • WANANCHI KARIBUNI TUMPOKEE MAKAMU WA RAIS – DC MWAIPAYA

    March 15, 2024
  • SERIKALI YAIPATIA SHULE YA MSINGI MWERO MILIONI 178.3

    October 12, 2023
  • MHE. TADAYO ATOA PONGEZI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO, ASEMA WILAYA INA VIONGOZI SAHIHI

    September 20, 2023
  • KIKUNDI CHA UTAMADUNI KUTOKA MWANGA KIMEULETEA MKOA WA KILIMANJARO USHINDI KWA AWAMU YA PILI MFULULIZO

    August 27, 2023
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa