• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

ZIARA YA NAIBU WAZIRI YATOA MATUMAINI YA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA MAGUGU MAJI ZIWA JIPE WILAYANI MWANGA

Posted on: August 10th, 2023

Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira imewaeleza wananchi wa Kijiji cha Ruru, Kata ya Jipe Wilayani Mwanga kuwa, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bado inaendelea kulichukulia kwa uzito tatizo la magugu maji linalo kabili ziwa Jipe lililopo Wilayani Mwanga.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe. Khamis H. Khamis (Mb) leo tarehe 10 Agosti, 2023, alipo tembelea ziwa Jipe kwa lengo la kuona namna ambavyo magugu maji yameathiri ziwa hilo.

Akizungumza na wananchi wa kijiji cha Ruru, Mhe. Naibu Waziri amesema kwamba, Serikali bado inatambua changamoto ya magugu maji ya ziwa Jipe na itahakikisha kuwa, magugu maji hayo yanaondolewa kwani mpaka sasa serikali imesha andika andiko lenye thamani ya fedha za kitanzania shilingi bilioni 18 na kuwasilisha kwa wahisani ili waweze kufadhili mradi wa kuondoa magugu maji hayo. Amewahakikishia wananchi hao kwamba, mara fedha hizo zitakapo patikana, serikali itaanza mradi huo mara moja.

Pamoja na hayo, Mhe. Naibu Waziri, amewataka wananchi wa Kata ya Jipe na maeneo yote yanayo zunguka ziwa hilo, kuhakikisha kwamba, wanatunza mazingira ili kuepuka athari za mabadiliko ya tabia nchi, ikiwa ni pamoja na ukame wa muda mrefu. Amewataka wananchi hao kupanda miti ya kutosha pamoja kuepuka kufanya shughuli za kibinadamu pembezoni mwa ziwa hilo.

Ziwa Jipe ni ziwa ambalo lipo limezungukwa na nchi ya Kenya na Tanzania na lina ukubwa wa kilomita za mraba 30KM2 na linasaidia maisha ya wananchi wa Tanzania wapatao 3222 kwenye shughuli za uvuvi, kilimo, ufugaji na uhifadhi wa bionuwai pamoja na shughuli za utalii.

Shughuli za uvuvi zimepungua kwa kiasi kikubwa kwenye ziwa hilo kutokana na magugu maji yaliyo ota ziwani haswa upande wa Tanzania. Hii imepelekea serikali kuhangaika kwa hali na mali, ili kuhakikisha kwamba, tatizo la magugu maji hayo linapatiwa ufumbuzi.

Matangazo

  • Tangazo la kazi April 17, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira February 21, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA February 16, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira January 30, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • WANANCHI KARIBUNI TUMPOKEE MAKAMU WA RAIS – DC MWAIPAYA

    March 15, 2024
  • SERIKALI YAIPATIA SHULE YA MSINGI MWERO MILIONI 178.3

    October 12, 2023
  • MHE. TADAYO ATOA PONGEZI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO, ASEMA WILAYA INA VIONGOZI SAHIHI

    September 20, 2023
  • KIKUNDI CHA UTAMADUNI KUTOKA MWANGA KIMEULETEA MKOA WA KILIMANJARO USHINDI KWA AWAMU YA PILI MFULULIZO

    August 27, 2023
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa