• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

Miradi inayoendelea

HALMASHAURI YA WILAYA YA MWANGA

MIRADI INAYOENDELEA

JILA LA MRADI KAMA LINAVYOSOMEKA KATIKA MKATABA/NYARAKA
SEKTA
JINA LA MKANDARASI
JINA LA MSHAURI ELEKEZI KAMA YUPO
TAREHE YA KUANZA UTEKELEZAJI
THAMANI YA MRADI
HALI YA MRADI (UNAENDELEA AU UMESIMAMA)
MSIMAMIZI WA MRADI (WIZARA/HALMASHAURI/NYINGINE (TAJA)
Mradi wa maji MSANGENI-MAMBA. Uchimbaji wa mtaro umekamilika na ulazaji wa mabomba umekamilika, pia ujenzi wa BPT umekamilika na ujenzi wa DPs umekamilika. Kuhudumia wakazi wapatao 1500 katika kijiji cha Mamba na wakazi 9250 kijiji cha Msangeni.
Maji
Halmashauri kupitia idara ya maji
Mhandisi wa Maji
Julai,2017
140,000,000
Mradi unaendelea
Halmashauri
Mradi wa uchimbaji visima sita (6) katika vijiji vya Mangio, Mriti, Kisanjuni, Mwaniko Mruma na Vuchama ndambwe kwa kisima kimoja kila kijiji.
Maji
DDCA
Mhandisi wa Ujenzi
Julai,2017
173, 200,000
Mradi unaendelea
Halmashauri
Ujenzi wa (kivuko) cha cha mazao kwa kitia
Kilimo
Local Fundi
Mhandisi wa Ujenzi
Julai,2018
28, 000, 000
Mradi unaendelea
Halmashauri
Ujenzi wa choo shule ya msingi Ruru.
Elimu Msingi
Local fundi
Mhandisi wa Ujenzi
Julai,2017
5,500,000
Mradi unaendelea
Halmashauri
Ujenzi wa Nyumba ya Mwalimu shule ya msingi kigonigoni
Elimu Msingi
Local Fundi
Mhandisi wa Ujenzi
Julai,2016
25,000,000
Mradi unaendelea
Halmashauri
Ujenzi wa Zahanati ya Lembeni
Afya
Local Fundi
Mhandisi wa Ujenzi
Julai,2016
98,000,000
Mradi unaendelea
Halmashauri
Ujenzi wa Zahanati ya kitoghoto
Afya
Local Fundi
Mhandisi wa Ujenzi
Julai,2016
98,000,000
Mradi unaendelea
Halmashauri
Ujenzi wa Zahanati ya vuchama Ndambwe.
Afya
Local Fundi
Mhandisi wa Ujenzi
Julai,2015
102,146, 100
Mradi upo hatua ya umaliziaji
Halmashauri
Ujenzi wa Zahanati ya Vanyua.
Afya
Local Fundi
Mhandisi wa Ujenzi
Julai,2014
81,822, 000
Mradi unaendelea
Halmashauri
Ujenzi wa Uzio Mnada wa Mgagao.
Afya
Local Fundi
Mhandisi wa Ujenzi
Julai,2017
15, 000, 000
Uzio umejengwa wa wavu
Halmashauri
Ujenzi wa jengo la Zahanati ya Kwakihindi
Afya
Local Fundi
Mhandisi wa Ujenzi
Julai,2017
70, 000, 000
Mradi unaendelea kwa nguvu za wananchi na fedha zinapopatikana
Halmashauri
Ujenzi wa ofisi ya kijiji cha Kigonigoni
Utawala
Local Fundi
Mhandisi wa Ujenzi
Julai,2017
30, 000, 000
Mradi unaendelea kwa nguvu za wananchi
Halmashauri
Ujenzi wa Bwalo shule ya sekondari Lomwe
Elimu sekondari
Local Fundi
Mhandisi wa Ujenzi
Julai,2017
213,000,000
Mradi unaendelea
Halmashauri
Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya waalimu Mwanga Sekondari.
Elimu sekondari
Local Fundi
Mhandisi wa ujenzi
Julai,2018
147,183, 928
Mradi unaendelea
Shule ya sekondari Lomwe
Ujenzi wa ofisi ya waalimu shule ya msingi msaleni.
Elimu Msingi
Local Fundi
Mhandisi wa Ujenzi
Julai,2017
12, 315, 000
Mradi upo 55%
Halmashauri
Ujenzi wa choo cha wanafunzi shule ya msingi Ibaya.
Elimu msingi
Local Fundi
Mhandisi wa Ujenzi
Julai,2017
7,800,000.00

Halmashauri
Ujenzi wa barabara bureni km 6. Kusaidia mawasiliano ndani na nje ya kijiji.
Barabara
Wananchi
Mhandisi Barabara
Julai,2017
28,000,000
Ujenzi unaendelea
Serikalii ya kijiji
Ujenzi wa ofisi ya kijiji M’bambua
Utawala
Local fundi
Mhandisi wa Ujenzi
Julai,2014
27,500,000
Ujenzi unaendelea
Halmashauri
Ujenzi wa choo matundu 12 shule ya msingi Kaili.
Elimu msingi
Local fundi
Mhandisi wa Ujenzi
Julai,2017
5,800,000
Ujenzi unaendelea
Halmashauri
Ujenzi wa choo matundu 16 shule ya msingi chanjale
Elimu msingi
Local fundi
Mhandisi wa Ujenzi
Julai,2016
10,055,308
Mradi unaendelea
Halmashauri
Ujenzi wa jengo la Maabara, jengo la upasuaji, Wodi ya kina mama wajawazito na X-Ray kituo cha Afya Kigonigoni.
Afya
Local fundi
Mhandisi wa Ujenzi
Julai,2017
400,000,000
Mradi unaendelea
Halmashauri
Kukamilisha nyumba ya Walimu Shule ya Sekondari Jipe.
Elimu sekondari
Local fundi
Mhandisi wa Ujenzi
Julai,2015
44,775,500
Mradi unaendelea
Halmashauri
Ujenzi wa barabara ya Mriti Kambi ya Simba
Barabara
Local fundi
Mhandisi wa Barabara
Julai,2016
4, 000, 000
Mradi unaendelea
Wananchi na Serikali
Ujenzi wa nyumba ya Waalimu 6 kwa 1 shule ya sekondari Ubang’i
Elimu sekondari
Local fundi
Mhandisi wa Ujenzi
Julai,2017
141,000,000
Mradi unaendelea
Halmashauri
Ujenzi wa Maabara Shule ya Sekondari Kishengweni
Elimu sekondari
Local fundi
Mhandisi wa Ujenzi
Julai,2015
86, 237,056
Mradi unaendelea
Halmashauri
Ujenzi wa darasa 1 Shule ya Msingi Shighati
Elimu msingi
Local fundi
Mhandisi wa Ujenzi
July 2018
17,843,824.86
Mradi unaendelea
Halmashauri

Matangazo

  • Mkutano wa Baraza la Halmashauri February 15, 2021
  • MPANGO WA MASOMO KWA MWAKA WA FEDHA 2020/2021 March 09, 2020
  • SERIKALI YASITISHA MICHEZO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA KWA MWAKA 2020 March 15, 2020
  • Matokeo darasa la saba Mwanga DC November 21, 2020
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • MBUNGE WA MWANGA ATOA MAAGIZO KWA AFISA ARDHI: AAHIDI MAZURI

    February 16, 2021
  • ZIARA YA WAZIRI WA MAJI JUMAA AWESO TAREHE 19/01/2021 KUTEMBELEA MRADI WA MAJI WA SAME MWANGA KOROGWE

    January 18, 2021
  • UZINDUZI WA KAMPENI YA KUWAANDIKISHA NA KUWAPATIWA WOTOTO WENYE UMRI CHINI YA MIAKA MITANO VYETI VYA KUZALIWA

    August 06, 2020
  • WANANCHI WA MWANGA WAENDELEA KUPATIWA ELIMU JUU YA CORONA

    July 28, 2020
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Greenbird college round about to Bomani road

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa