• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

Kilele cha Maadhimisho ya Juma la Elimu ya Watu Wazima

Posted on: September 4th, 2025

Siku ya Kilele cha Maadhimisho ya Elimu ya Watu Wazima kwa  Mkoa wa Kilimanjaro yamefanyika mapema leo septemba 4, 2025 Wilayani Mwanga katika Shule ya sekondari St. Joseph.


Mgeni Rasmi wa hafla hii alikuwa Mhe. Rukia Zuberi,  Mkuu wa Wilaya ya Mwanga akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe Nurdin Babu.


Katika hotuba yake, Mgeni Rasmi alielezea umuhimu wa elimu ya watu wazima katika kupambana na ujinga, umaskini, na magonjwa ya kawaida ulimwenguni.

Pia kusisitiza kuwa shule zote za msingi na sekondari zinaweza kutumika kama vituo vya elimu ya watu wazima.


Kadhalika Mhe. Rukia Aliitumia fursa hii kuishukuru Halmashauri ya Mwanga kwa kuandaa maadhimisho haya ya kihistoria katika Mkoa wa Kilimanjaro. Vilevile, alimpongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga na wote walioshiriki katika kuandaa maadhimisho haya.

Hafla hii ilikusanya viongozi mbalimbali, akiwemo afisa elimu wa Mkoa,  Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Mwanga, wakuu wa idara za elimu ya msingi na sekondari, na maafisa elimu ya watu wazima kutoka Mkoa wa Kilimanjaro. Pia, walimu wa shule za msingi na sekondari, pamoja na wanafunzi wa elimu ya watu wazima kutoka vituo mbalimbali katika mkoa, walishiriki kikamilifu katika maadhimisho haya.

Matangazo

  • Tangazo la ukarabati wa vibanda September 03, 2025
  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili September 04, 2025
  • Tangazo la kuomba eneo la kujenga kibanda cha kudumu September 03, 2025
  • Tangazo la nafasi 30 za kazi ya mkataba June 20, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • Kilele cha Maadhimisho ya Juma la Elimu ya Watu Wazima

    September 04, 2025
  • Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya kata wapewa mafunzo

    August 04, 2025
  • DC MUNKUNDA AONGOZA KONGAMANO LA MWAKA LA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI (NGOs)

    June 18, 2025
  • WATUMISHI WA MWANGA DC WAPATIWA MAFUNZO YA E-UTENDAJI.

    June 19, 2025
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa