• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

HALMASHAURI YA WILAYA YA MWANGA YAPATA MAFANIKIO MAKUBWA KATI YA DESEMBA 2023 HADI OKTOBA 2025

Posted on: October 17th, 2025


Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga imepata mafanikio makubwa katika kipindi cha Desemba 2023 hadi Oktoba 2025, ikiwa ni matokeo ya usimamizi bora na utekelezaji wa maelekezo ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi mahiri wa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Akizungumza wakati wa kuwaaga watumishi wa halmashauri, aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji Bi. Zahara Msangi alimshukuru Mheshimiwa Rais kwa kuendelea kuiamini na kuiwezesha Halmashauri ya Mwanga kufanikisha utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.


Katika kipindi cha miaka miwili, mapato ya ndani ya halmashauri yameongezeka kutoka Shilingi bilioni 3.07  mwaka 2023/2024 hadi Shilingi bilioni 3.97 kwa mwaka 2025/2026, sawa na ongezeko la zaidi ya shilingi bilioni 0.9 .


Ongezeko hilo limetokana na uimarishaji wa vyanzo vya mapato ikiwemo Mnada wa Mifugo Mgagao (kutoka Shilingi milioni 6 hadi milioni 13 kwa wiki), Masoko (kutoka Shilingi 250,000 hadi 1,200,000 kwa wiki), Machinjio(kutoka Shilingi 196,000 hadi 292,800 kwa wiki), na Vituo vya Afya (kutoka Shilingi 2,990,000 hadi 5,850,000 kwa wiki).


Katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo, Halmashauri imetekeleza miradi yenye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni 35, ikiwemo:

Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya (Shilingi bilioni 3.8 ) na Jengo la Utawala*(Shilingi bilioni 3.6 ).


Shule mpya za Sekondari za Toloha (Shilingi milion 584.2 ) na Kilaweni (Shilingi milioni 584.3 ).


Mabweni ya wanafunzi katika shule za Kivisini, Ubangi, Kwangu, na Mgagao (jumla Shilingi milioni 814.3 ).


Kituo cha Afya Chomvu (Shilingi milioni 250 ) na Zahanati ya Toloha (Shilingi milioni 286.6 ).


Skimu za Umwagiliaji za Kirya (Shilingi bilioni 1.89 ), Kileo (Shilingi bilioni 4.8), na Kigonigoni (Shilingi bilioni 16.87 ).


Bi. Msangi alisisitiza kuwa mafanikio haya yametokana na ushirikiano mzuri wa watumishi, madiwani, na wananchi wa Mwanga. Alimalizia kwa kumshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuisaidia halmashauri hiyo katika kuwaletea wananchi maendeleo endelevu.



Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA WA MAGARI 12 September 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGA KURA October 02, 2025
  • TANGAZO LA KUTEULIWA KUWA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGA KURA NA KUHUDHURIA MAFUNZO. October 19, 2025
  • Tangazo la ukarabati wa vibanda September 03, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MWANGA YAPATA MAFANIKIO MAKUBWA KATI YA DESEMBA 2023 HADI OKTOBA 2025

    October 17, 2025
  • RAS - KILIMANJARO ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI, HALMASHAURI YA WILAYA YA MWANGA

    September 25, 2025
  • Kilele cha Maadhimisho ya Juma la Elimu ya Watu Wazima

    September 04, 2025
  • Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya kata wapewa mafunzo

    August 04, 2025
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa