• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

HALMASHAURI YATOA MKOPO WA TSH.15,000,000 KWA VIKUNDI VYA UJASIRIAMALI

Posted on: March 2nd, 2018

 Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Mwanga imetoa mkopo kiasi cha Tsh. 15,000,000 kwa vikundi sita vya ujasiriamali vilivyopo ndani ya Wilaya ya Mwanga. Vikundi vilivyofaidika na mkopo huo vinatoka Kata za Kivisini, Kigonigoni na Ngujini.

Akisoma taarifa ya kiasi kilichotengwa kwa ajili ya Mfuko wa Wanawake na Vijana kwa mwaka wa fedha 2017/18 Bi. Wahilina Salum Afisa Maendeleo ya Jamii alisema, Halmashauri imetenga kiasi cha Tsh. 122,822,526.00 kutoka katika mapato yake ya ndani na hadi sasa kiasi cha Tsh. 40,190,390.07 kimeshatolewa kwa mifuko hiyo. “ Leo hii tunategemea kutoa mkopo wa Tsh. 15,000,000 kwa vikundi sita vya akina mama na tarehe 08 Machi,2018 ambayo itakuwa siku ya wanawake Halmashauri inatarajia kutoa kiasi cha Tsh. 10,000,000 alisema Bi. Wahilina Salum.

Akizungumza na wanufaika wa mkopo huo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Ndg. Golden A. mgonzo amewapongeza akina Mama waliopatiwa mkopo huo na kutoa wito kwa wanawake wa Wilaya ya Mwanga kuomba kukopeshwa kwani ofisi yake ina fedha za kutosha.

Kabla ya zoezi la kugawa mkopo huo kuanza Mwanasheria wa Halmashauri Ndg. Mhendeli Wilson Msaki alisisitiza kwa wanufaika kuwa mkopo unaotolewa kwao siyo msaada bali ni fedha ya Serikali na inapaswa kurejeshwa kwa mujibu wa mkataba. Mwanasheria aliendelea kusisitiza kuwa kila kikundi kilichonufaika na mkopo kitawajibika katika kurejesha na kila mtu mmoja mmoja kwenye kikundi atawajibika.

Nao wanufaika wa mkopo huo wametoa shukrani kwa Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji kwa kuhakikisha kuwa inawanyanyua akina mama kimaisha na hii inawajengea mtazamo chanya kwa Serikali kwamba inawajali na kuwathamini.

Matangazo

  • Tangazo la kazi April 17, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira February 21, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA February 16, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira January 30, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • WANANCHI KARIBUNI TUMPOKEE MAKAMU WA RAIS – DC MWAIPAYA

    March 15, 2024
  • SERIKALI YAIPATIA SHULE YA MSINGI MWERO MILIONI 178.3

    October 12, 2023
  • MHE. TADAYO ATOA PONGEZI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO, ASEMA WILAYA INA VIONGOZI SAHIHI

    September 20, 2023
  • KIKUNDI CHA UTAMADUNI KUTOKA MWANGA KIMEULETEA MKOA WA KILIMANJARO USHINDI KWA AWAMU YA PILI MFULULIZO

    August 27, 2023
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa