• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

HONGERA SHIRIKA LA WORLD VISION KWA KUINUA ELIMU WILAYANI MWANGA

Posted on: August 24th, 2018

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga, Ndugu Mariana Sumari, leo ametoa shukrani za dhati kwa shirika lisilokuwa la Serikali la World Vision Tanzania, kwa namna linavyofanya kazi nzuri ya kuinua elimu hapa Wilayani Mwanga.

Kaimu Mkurugenzi ametoa pongezi hizo kwenye hafla iliyofanywa na shirika hilo, ikiwa na lengo la kutoa pongezi na zawadi kwa wanafunzi waliofanya vizuri kwenye utengenezaji wa zana za kusomea na kujifunzia (KK).

Katika kuhakikisha kuwa, shirika linaendeleza elimu Wilayani Mwanga, limeweza kutekeleza programu yake kwenye vijiji sita vya kata ya Kirya na Lembeni, ambavyo ni Kiruru, Kisangara, Mangara, Mbambua, Lembeni na Njiapanda. Mojawapo ya mafanikio ambayo shirika limeweza kufikia hususani katika elimu ni pamoja na kutoa mafunzo kwa wadau mbalimbali ambao wamekuwa watekelezaji na wawezeshaji wa mradi wa kuinua elimu hapa wilayani. Walioweza kupatiwa mafunzo ni pamoja na walimu wakuu, walimu, wazazi, waratibu elimu, maafisa elimu na wanasihi. Wadau hawa wamekuwa kama nyenzo muhimu sana katika kuendeleza programu hii inayosimamiwa na shirika.

Mafanikio mengine ambayo shirika limepata katika jitihada zake za kuinua elimu ni pamoja na, kusambaza vitabu vya kujifunzia, kusambaza vifaa vya michezo,  shajala na uanzishwaji wa kambi maalum zinazotumika kuwafundishia watoto kwa kila siku za jumamosi wanapokuwa hawaendi shuleni. Katika kuhakikisha kuwa watoto wanaelewa kwa urahisina kwa haraka, madarasa wanayosomea (makambi) yanapambwa na picha na michoro mbalimbali ili kumuwezesha mtoto kuelewa.

Matangazo

  • Tangazo la kazi April 17, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira February 21, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA February 16, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira January 30, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • WANANCHI KARIBUNI TUMPOKEE MAKAMU WA RAIS – DC MWAIPAYA

    March 15, 2024
  • SERIKALI YAIPATIA SHULE YA MSINGI MWERO MILIONI 178.3

    October 12, 2023
  • MHE. TADAYO ATOA PONGEZI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO, ASEMA WILAYA INA VIONGOZI SAHIHI

    September 20, 2023
  • KIKUNDI CHA UTAMADUNI KUTOKA MWANGA KIMEULETEA MKOA WA KILIMANJARO USHINDI KWA AWAMU YA PILI MFULULIZO

    August 27, 2023
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa