• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

MADIWANI WA MWANGA NA TIMU YA WATAALAMU WAMUENZI RAIS SAMIA KWA VITENDO

Posted on: November 19th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga, leo imeweza kumuenzi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassani, kwa vitendo baada ya Waheshimiwa Madiwani na Timu ya Wataalamu wa Halmashauri kufanikiwa kufanya ziara ya kitalii katika, hifadhi ya mbuga za wanyama ya Mkomazi iliyopo Mkoa wa Kilimanjaro.

Ziara hiyo, ambayo ilikuwa na lengo la kumuunga mkono Rais Samia, katika kuutangaza utalii wa Tanzania kupitia Royal Tour, pamoja na kutoa fursa ya kujifunza kwa ajili ya kuboresha sekta ya utalii Wilayani Mwanga, imekuwa ya manufaa makubwa kwa washiriki, kwani wamejifunza mengi ikiwa ni pamoja na kupata elimu ya uhifadhi, namna ya kutangaza vivutio vya kitalii na kuviendeleza kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vya baadae.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga, Bi. Mwajuma A. Nasombe, akizungumza wakati wa ziara hiyo amesema, ziara hii ya utalii wa ndani, imelenga kumuunga mkono kwa vitendo Rais Samia, kwa kuutangaza utalii wa nchi yetu ya Tanzani. Amesisitiza kwamba, pamoja na kumuunga mkono Rais, Halmashauri yake imejifunza mengi ikiwa ni pamoja na kwenda kuanza mikakati ya kuhakikisha kwamba, anazishirikisha mamlaka za uhifadhi wa mbuga hiyo, ili waweze kuanzisha lango la watalii katika kijiji cha Kwakoa Wilayani Mwanga. Ameendelea kusema kwamba, pamoja na kujifunza mengi, ziara hiyo ya utalii wa ndani imekuwa sehemu ya kufurahi pamoja na kupunguza msongo wa mawazo kwani, waheshimiwa madiwani na watumishi, wamekuwa wakifanya kazi muda mrefu, hivyo ziara kama hizi zinapunguza msongo wa mawazo ikiwa ni pamoja na kuchangamsha mwili na akili.

Tangu Rais Samia azindue filamu ya "Royal Tour", sekta ya utalii nchini, imeendelea kukuwa kwa kasi, kutokana na muitikio mkubwa wa ujio wa watalii, kutoka nje ya nchi, pamoja na uwepo wa watalii wengi wa ndani ambao wamekuwa wakitembelea maeneo mbalimbali, yenye vivutio vya kitalii.

Matangazo

  • Tangazo la kazi April 17, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira February 21, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA February 16, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira January 30, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • WANANCHI KARIBUNI TUMPOKEE MAKAMU WA RAIS – DC MWAIPAYA

    March 15, 2024
  • SERIKALI YAIPATIA SHULE YA MSINGI MWERO MILIONI 178.3

    October 12, 2023
  • MHE. TADAYO ATOA PONGEZI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO, ASEMA WILAYA INA VIONGOZI SAHIHI

    September 20, 2023
  • KIKUNDI CHA UTAMADUNI KUTOKA MWANGA KIMEULETEA MKOA WA KILIMANJARO USHINDI KWA AWAMU YA PILI MFULULIZO

    August 27, 2023
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa