Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Bi. Zahara A. Msangi, ameiaga rasmi timu yake ya wanafunzi 120 watakaoiwakilisha wilaya ya Mwanga kwenye mashindano ya michezo ya shule za Sekondari (UMISSETA) ngazi ya mkoa, yatakayofanyika kimkoa katika viwanja vya Shule ya Sekondari ya Ufundi Moshi.
Zoezi hilo la kuaga timu hiyo limefanyika mapema leo Juni 4, 2025, katika viwanja vya CD Msuya mara baada ya mchujo uliofanyika kwa makini kwenye shule mbalimbali wilayani hapa.
Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro
Simu ya Mezani: +255 272974343
Namba ya Simu: +255 272974343
Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz
hatimiliki ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa