• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

MIKOPO YENYE THAMANI YA TSH. MILIONI 122,767,000 YAKABIDHIWA KWA VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

Posted on: September 29th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga, leo imeendelea kutekeleza maelekezo ya Serikali kwa kuhakikisha kwamba, wanatoa mikopo itokanayo na asilimi 10 ya mapato ya ndani, kwa makundi ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu.

Mikopo hiyo, ambayo ina thamani ya fedha za kitanzania Tsh. Milioni 122,767,000/=, imekabidhiwa kwa jumla ya vikundi 15 na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga, Mhe. Salehe R. Mkwizu. Akikabidhi mfano wa hundi ya kiasi hicho cha fedha, Mhe. Mkwizu alisema, fedha hizi ni sehemu ya manufaa ya urejeshaji mzuri unaofanywa na vikundi ambavyo, vikipewa fedha vinarejesha vizuri na kwa wakati.

Mhe. Mkwizu amewataka wanufaika wa mikopo hiyo kuhakikisha kwamba, fedha walizopatiwa wanakwenda kuziingiza kwenye miradi waliyo ombea fedha na siyo kuzifanyia kazi ambayo haikukusudiwa. Pia amewataka kurejesha fedha hizo kwa wakati ili vikundi vingine vikopeshwe, pia nao waendelee kukopeshwa mara nyingi zaidi kadri ya watakavyokuwa wanarejesha.

Akiongea kama sehemu ya msimamizi mkuu wa mikopo hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga, Bi. Mwajuma A. Nasombe, amewaomba Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri kuhakikisha kwamba, wanasimamia vizuri vikundi vyao ili warejeshe mikopo hiyo kwa wakati, ili pia waendelee kukopa zaidi.

Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga imekuwa mstari wa mbele katika utoaji wa mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. Katika mwaka wa fedha wa Serikali 2021/2022, Halmashauri ilifanikiwa kutoa mikopo yenye thamani ya Tsh. 481,572,500/= kwa jumla ya vikundi 70.

Matangazo

  • Tangazo la kazi April 17, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira February 21, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA February 16, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira January 30, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • WANANCHI KARIBUNI TUMPOKEE MAKAMU WA RAIS – DC MWAIPAYA

    March 15, 2024
  • SERIKALI YAIPATIA SHULE YA MSINGI MWERO MILIONI 178.3

    October 12, 2023
  • MHE. TADAYO ATOA PONGEZI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO, ASEMA WILAYA INA VIONGOZI SAHIHI

    September 20, 2023
  • KIKUNDI CHA UTAMADUNI KUTOKA MWANGA KIMEULETEA MKOA WA KILIMANJARO USHINDI KWA AWAMU YA PILI MFULULIZO

    August 27, 2023
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa