• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

NAIBU WAZIRI ATOA MATUMAINI KUMALIZA CHANGAMOTO YA MAGUGU NDANI YA ZIWA JIPE

Posted on: September 20th, 2021

Mhe. Hamad Hassan Chande (MB) ambaye ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira amefanya ziara katika Ziwa Jipe lililopo Wilayani Mwanga, ziwa ambalo lina ukubwa wa kilomita za mraba 30.

Katika ziara yake hiyo, ameweza kujionea namna ambavyo ziwa hilo lina magugu maji ambayo yamezuia shughuli za kiuchumi kama uvuvi zikifanyika katika ziwa hilo hususani upande wa Tanzania. Akiongea mbele ya viongozi wa wilaya ya Mwanga na wandishi wa habari, Mhe. Naibu Waziri amesema, Serikali haijalala katika kutafuta ufumbuzi wa kuondoa magugu maji katikwa ziwa hilo.

Ameendelea kusema kuwa, Serikali imesha andaa andiko maalum kwa ajili ya kutafuta fedha za kuondoa magugu maji hayo. Amebainisha kuwa, uondoaji wa magugu maji hayo ni sehemu ya mradi mkubwa ambao utahitaji fedha nyingi ili kufanikisha zoezi hilo.

Katika kuhakikisha kuwa mipaka ya ziwa hilo inalindwa na kuwekwa vizuri kwa ajili ya wananchi wa Tanzania, Mhe Naibu Waziri amesema, suala hilo litafanyiwa kazi kwa kuhusisha nchi zote mbili yaani Tanzania na Kenya ili wananchi wa Tanzania wafaidi rasilimali zao. Pia amesema, uongozi wa wilaya ya Mwanga uhakikishe kuwa, unachukua hatua za makusudi kulinda maeneo yanayo zunguka ziwa ili pasiwepo na kilimo kwani kilimo kandokando mwa ziwa panasababisha uharibifu ndani na nje ya ziwa.

Aidha katika ziara yake hiyo, Mhe. Naibu Waziri aliweza kutembelea kiwanda cha Biochem, kiwanda ambacho kinazalisha spiriti kwa ajili ya matumizi mbalimbali. Akiwa kiwandani hapo, aliweza kukagua maeneo mbalimbali na kuridhishwa namna ambavyo wamiliki wa kiwanda wanajitahidi katika utunzaji wa mazingira ikiwa ni pamoja na kutii maagizo mbalimbali yaliyokwisha tolewa na serikali ikiwa ni pamoja na kuhakikisha mfumo wa maji taka unawekwa vizuri, agizo ambalo wamiliki walishalifanyia kazi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGA KURA KWAAJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 04, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 03, 2025
  • Tangazo la nafasi 30 za kazi ya mkataba June 20, 2025
  • TANGAZO LA KAZI June 03, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • DC MUNKUNDA AONGOZA KONGAMANO LA MWAKA LA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI (NGOs)

    June 18, 2025
  • WATUMISHI WA MWANGA DC WAPATIWA MAFUNZO YA E-UTENDAJI.

    June 19, 2025
  • MWANGA YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA

    June 16, 2025
  • MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 13, 2025
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa