• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

NARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA YA MWANGA; RC NURDIN BABU

Posted on: May 3rd, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Nurdin Babu amesema kwamba, anaridhishwa na kasi aliyo iona katika ujenzi wa Hospitali Mpya ya Wilaya ya Mwanga.

Mhe. Mkuu wa Mkoa ameyasema hayo jana tarehe 02.05.2023 alipokuwa katika ukaguzi wa miradi Wilayani Mwanga. Akiwa katika eneo la mradi wa Hospitali hiyo, alipokea taarifa fupi kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Bi. Mwajuma A. Nasombe. Taarifa hiyo ilieleza kwamba, ujenzi wa Hospitali kwa sasa upo katika hatua za umaliziaji kwa majengo ya awamu ya kwanza huku majengo ya awamu ya pili yakiwa katika hatua tofauti.

Nimefurahishwa sana na jitihada za Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Samia Suluhu Hassan kwa kutuletea mradi mkubwa namna hii, alisema Mhe. Mkuu wa Mkoa. Pamoja na pongezi nyingi alizozitoa kwa uongozi wa Wilaya kwa kusimamia mradi huo vizuri, pia ametoa wito kwa viongozi wa Wilaya kuhakikisha kwamba, panakuwepo na usimamizi mzuri wa vifaa vya ujenzi kwa kuhakikisha kwamba ulinzi unakuwepo wa kutosha ili kuepuka upotevu na ubadhirifu kwenye vifaa hivyo.

Pamoja na ziara yake hiyo ya kukagua mradi wa Hospitali mpya ya Wilaya, Mhe. Mkuu wa Mkoa pia alitembelea miradi mitatu ya ujenzi wa barabara. Miradi hiyo ni Ujenzi wa Barabara ya Kisangara – Shighatini (KM 5), Ujenzi wa madaraja 16 katika barabara ya C. D Msuya (KM 13.8) na ujenzi wa barabara ya Kituri Proper (KM 4.2).

Ujenzi wa barabara hizo unatarajiwa kuleta chachu kubwa ya maendeleo kwa wananchi wa Mwanga kwa kukuza uchumi na kuondoa umaskini kwa kuboresha sekta ya usafiri na kurahisisha usafirishaji wa mazao ya wakulima kwa ajili ya biashara, Pia barabara hizo zitarahisisha katika utoaji wa huduma za afya na elimu.

Akisoma taarifa ya miradi hiyo kwa Mhe. Mkuu wa Mkoa, Meneja wa Mradi wa Wilaya ya Mwanga Ndg. David Msechu alisema kwamba, thamani ya mradi wa barabara ya Kisangara – Shighatini ni Tsh. 513,908,081, mradi wa barabara ya C. D Msuya ni Tsh. 4,999,695,872.00 na mradi wa barabara ya Kituri Proper una thamani ya Tsh. 490,800,500.                                                                                           

Matangazo

  • Tangazo la kazi April 17, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira February 21, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA February 16, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira January 30, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • WANANCHI KARIBUNI TUMPOKEE MAKAMU WA RAIS – DC MWAIPAYA

    March 15, 2024
  • SERIKALI YAIPATIA SHULE YA MSINGI MWERO MILIONI 178.3

    October 12, 2023
  • MHE. TADAYO ATOA PONGEZI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO, ASEMA WILAYA INA VIONGOZI SAHIHI

    September 20, 2023
  • KIKUNDI CHA UTAMADUNI KUTOKA MWANGA KIMEULETEA MKOA WA KILIMANJARO USHINDI KWA AWAMU YA PILI MFULULIZO

    August 27, 2023
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa