• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

NEEMA YA MILIONI 400, KITUO CHA AFYA KIGONIGONI

Posted on: July 11th, 2018

Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga, imeendelea kuneemeka hususani kwenye vituo vya afya ambapo, kwa mara nyingine tena imepatiwa kiasi cha Tsh milioni 400 kwa ajili ya upanuzi wa kituo cha afya Kigonigoni.


Ikumbukwe kuwa na kituo cha afya Kisangara nacho kilipewa idadi ya fedha kama hizo na kituo kipo katika hatua ya kumaliziwa majengo matatu.


Akizungumza ofisini kwake, Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya Ndugu Alex Kameo amesema,  Kituo cha afya Kigonigoni kimepewa kiasi hicho cha fedha ili kuweza kupanua miundo mbinu yake na kuhakikisha panakuwepo na utoaji wa huduma ya kiwango kizuri kwa jamii. Majengo yatakayo jengwa ni pamoja na; jengo la maabara, jengo la wazazi, jengo la upasuaji na sehemu ya kuchomea taka


Ameendelea kusema kuwa, ili kuhakikisha kazi ya ujenzi inakwenda vizuri na ujenzi unakuwa imara, Mhandisi wa ujenzi Wilaya ndiye atakaye kuwa msimamizi mkuu wa ujenzi huo na kutoa ushauri kwa kila hatua ya ujenzi. Aidha ili kulinda na kuepuka ubadhirifu, kitengo cha manunuzi kitahusika kwenye hatua zote za ununuzi wa vifaa vya ujenzi.


Pia amesema kuwa, kwa mujibu wa muongozo, zimeshaundwa kamati tatu zitakazo husika na usimamizi wa ujenzi wa miundombinu hiyo. Kamati zilizoundwa ni Kamati ya Ujenzi, Kamati ya Manunuzi na Kamati ya Mapokezi. Kamati hizi zitashirikiana na Mhandisi wa Wilaya na Afisa Manunuzi Wilaya kwenye shughuli mbalimbali za ujenzi zitakazokuwa zinafanyika.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGA KURA KWAAJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 04, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 03, 2025
  • Tangazo la nafasi 30 za kazi ya mkataba June 20, 2025
  • TANGAZO LA KAZI June 03, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • DC MUNKUNDA AONGOZA KONGAMANO LA MWAKA LA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI (NGOs)

    June 18, 2025
  • WATUMISHI WA MWANGA DC WAPATIWA MAFUNZO YA E-UTENDAJI.

    June 19, 2025
  • MWANGA YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA

    June 16, 2025
  • MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 13, 2025
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa