• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

SIKU YA WANAWAKE WILAYANI MWANGA YAFANA

Posted on: March 8th, 2018

Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga siku ya leo imeungana na wanawake kote Ulimwenguni kuadhimisha siku ya Wanawake ambayo huadhimishwa tarehe 08 Machi, 2018 kila mwaka. Maadhimisho hayo yamefanyika Mamlaka ya Mji Mdogo Mwanga na kuweza kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo watumishi na wananchi.

Wakisoma risala yao mbele ya Mgeni Rasmi ambaye alikuwa ni Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Mwanga Ndg Aaron Yesaya Mmbogho, wanawake hao walisema wanakabiliwa na changamoto mbalimbali kama vile ukosefu wa mitaji, ukatili dhidi ya wanawake, kudhulumiwa mali, kutoshirikishwa katika kutoa maamuzi katika mali zinazozalishwa na familia sambamba na uwepo wa baadhi ya mila gandamizi.

Wanawake hao waliendelea kusema pamoja na changamoto mbalimbali walizo nazo siku ya leo wameweza kujitolea kwa kuwasaidia watoto wenye mahitaji maalum wanaosoma shule ya Msingi Mavusha kwa kuwapatia zawadi mbalimbali zenye thamani ya shilingi 250,000/=.

Maadhimisho hayo ambayo yalibebwa na kauli mbiu “Kuelekea Uchumi wa Viwanda Tuimarishe Usawa wa Kijinsia na Uwezeshaji Wanawake Vijijini” yaliambatana na zoezi la kutoa cheki za mikopo kwa vikundi vinne vya wanawake wajasiriamali ambapo kiasi cha shilingi 10,000,000/= kilitolewa leo.

Akitoa hotuba yake kwa wanawake Mhe. Mkuu wa Wilaya alisema katika kuelekea uchumi wa viwanda na kuimarisha usawa wa kijinsia Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga kwa mwaka wa fedha 2016/17 imetoa mikopo kiasi cha shilingi 34,000,000/= kwa vikundi vya wanawake vipatavyo kumi na kwa mwaka wa fedha 2017/18 hadi kufikia leo kiasi cha shilingi 25,000,000/= tayari zitakuwa zimekwisha tolewa kwa vikundi vya wanawake. Aliendelea kusisitiza kuwa pamoja na changamoto mbalimbali zilizopo sisi kama jamii tunalo jukumu la kuadhimisha siku hii ili kutathmini mafanikio na changamoto zinazowakabili wanawake katika kujiletea maendeleo yao na Taifa kwa ujumla.

Akizungumza kwa niaba ya wanawake waliopatiwa mkopo leo Bi. Fotunata P. Mruma wa kikundi cha Tumaini kinachotokea Kata ya Kilomeni alisema Halmashauri imeweza kuwatoa kwenye hatua moja kwenda hatua nyingine nzuri zaidi. “ Tunaishukuru sana Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii kwani mitaji tuliyopata itatusaidia kununua chakula cha kuku na madawa hivyo uzalishaji utaongezeka na biashara itakuwa” alisema Bi. Fotunata.

Matangazo

  • Tangazo la kazi April 17, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira February 21, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA February 16, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira January 30, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • WANANCHI KARIBUNI TUMPOKEE MAKAMU WA RAIS – DC MWAIPAYA

    March 15, 2024
  • SERIKALI YAIPATIA SHULE YA MSINGI MWERO MILIONI 178.3

    October 12, 2023
  • MHE. TADAYO ATOA PONGEZI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO, ASEMA WILAYA INA VIONGOZI SAHIHI

    September 20, 2023
  • KIKUNDI CHA UTAMADUNI KUTOKA MWANGA KIMEULETEA MKOA WA KILIMANJARO USHINDI KWA AWAMU YA PILI MFULULIZO

    August 27, 2023
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa