• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

Tanzania Utamaduni Carnival yaiteka Dar

Posted on: July 2nd, 2022

*Tanzania Utamaduni Carnival yaiteka  Dar.*

Na John Mapepele

Matembezi ya Kiutamaduni yajulikanayo kama Tanzania Utamaduni Carnival yaliyoandaliwa na Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo yameliteka jiji la Dar es Salaam na kuandika historia hapa nchini.

Tanzania Utamaduni Carnival ni sehemu ya Tamasha la kitaifa la Utamaduni  ambalo linazinduliwa alasiri ya leo Julai 2, 2022 na  Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe Kassim Majaliwa  kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

Tanzania Carnival imepita kuanzia  uwanja wa Uhuru,  daraja la Mfugale, daraja la Kijazi na daraja la Tanzanite.

Matembezi hayo ambayo yalipambwa na ngoma za makabila mbalimbali zimekuwa kivutio cha aina yake kwa wakazi wa Dar.

Mara baada ya kuwasili katika mtaa wa Kariakoo  vikundi hivyo vilikaribishwa kwa mtindo wa aina yake hali iliyowafanya  wananchi kujumuika kucheza kwa furaha nyimbo za makabila yao huku wakipongeza ubunifu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo wa kuandaa tamasha na matembezi ya aina yake.

"Binafsi  naipongeza Serikali kwa kutuandalia kitu kizuri na kikubwa kama hiki nashauri iendelezwe na kufanyika kila mwaka" amefafanua  Isack Moga mfanyabiasha wa kariakoo.

Baadhi ya vivutio katika vikundi hivyo ni pamoja na kucheza na nyoka pia sarakasi za vijana waliokuwa wakiruka kutoka kwenye magari na kucheza kwa mtindo wa muziki wa kizazi kipya.

Matangazo

  • TANGAZO KWA WAAJIRIWA WAPYA KADA YA ELIMU NA AFYA July 04, 2022
  • WALIOITWA KWENYE USAILI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 16, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA May 24, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA YA SENSA May 05, 2022
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • WILAYA YA MWANGA YANG'ARA TENA KITAIFA

    August 02, 2022
  • MKOA WA KILIMANJARO WAIBUKA KIDEDEA KATIKA TAMASHA LA KITAIFA LA UTAMADUNI

    July 03, 2022
  • Tanzania Utamaduni Carnival yaiteka Dar

    July 02, 2022
  • VIJANA WA MWANGA WAMWAAHIDI MKURUGENZI JAMBO KATIKA UJIO WA MWENGE WA UHURU

    May 17, 2022
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa