• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

UZINDUZI WA BIMA YA AFYA KWA WOTE WILAYA YA MWANGA

Posted on: February 14th, 2026

Mkuu wa wilaya ya Mwanga Mhe. Rukia Zuberi amezindua rasimi zoezi la uandikishaji na ugawaji wa bima ya Afya kwa wote kwa awamu ya kwanza.

Zoezi hilo la uzinduzi limefanyika tarehe 14 Februari 2026 katika ofisi ya mamlaka ya mji mdogo huku likiendelea katika kata zote za wilaya ya Mwanga, likilenga zaidi watu wenye uhitaji maalumu kwa awamu ya kwanza, huku takribani kaya 1709 zimekusudiwa kunufaika na huduma ya bima ya Afya kwa wote kwa awamu ya kwanza.

Aidha, mkuu wa wilaya amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa uongozi wake mahiri na kutenga bajeti kwa ajili ya bima ya afya kwa wote kwa wilaya ya Mwanga, huku akiwataka wananchi kuunga jitihada za raisi kwa kujiandikisha ili waweze kupata huduma ya bima ya afya kwa wote.

Aidha, amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Mwanga Bi Mwashabani Mrope kwa maandalizi mazuri ya zoezi la uzinduzi wa bima ya afya kwa wote, huku akisisitiza wahudumu wa afya katika kutoa huduma nzuri kwa wananchi.

Naye diwani wa kata ya Mwanga Mhe. Hinja Solomon Msuya ameishukuru Serikali kwa kuipa heshima kata ya Mwanga kwa kuichagua kuwa moja ya eneo la uzinduzi wa bima ya afya kwa wote kwa wilaya ya Mwanga.

Aidha,Mganga mkuu wa wilaya ya Mwanga Selijo Kusekwa amesema wananchi wenye bima watakuwa na uwezo wa kupata huduma ya matibabu kuanzia ngazi ya zahanati, kituo cha afya, Hospitali ya wilaya na rufaa kwa kufuata utaratibu maalumu wa rufaa.

Sambamba na hayo wananchi wameishukuru sana serikali kwa kujali uwepo, ustawi na afya zao kwa kuwaletea huduma ya bima ya afya kwa wote.

Matangazo

  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA WA MAGARI 12 September 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGA KURA October 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI January 08, 2026
  • TANGAZO LA KUTEULIWA KUWA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGA KURA NA KUHUDHURIA MAFUNZO. October 19, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA BIMA YA AFYA KWA WOTE WILAYA YA MWANGA

    February 14, 2026
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MWANGA YAPATA MAFANIKIO MAKUBWA KATI YA DESEMBA 2023 HADI OKTOBA 2025

    October 17, 2025
  • RAS - KILIMANJARO ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI, HALMASHAURI YA WILAYA YA MWANGA

    September 25, 2025
  • Kilele cha Maadhimisho ya Juma la Elimu ya Watu Wazima

    September 04, 2025
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa