• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mwanga District Council
Mwanga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na rasilimali watu
      • Afya
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii na Uhusiano
      • Ujenzi na zima moto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali asili
      • Mazingira
      • Mamlaka ya Mji mdogo
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za Uvuvi
    • Fursa ya Madini
    • Fursa ya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za kisheria
    • Huduma za kuwawezesha wajasiria mali
  • Madiwani
    • Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mipango mikakati
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Bajeti ya Halmashauri
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba kwa Vyombo vya Habari
    • Habari

WAHESHIMIWA MADIWANI WAKABIDHIWA LORI JIPYA NA GUTA, WAFURAHISHWA NA JITIHADA ZA UONGOZI WA HALMASHAURI

Posted on: May 19th, 2023

Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga, leo wamekabidhiwa Lori jipya na Guta jipya. Makabidhiano hayo yamefanywa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Bi. Mwajuma A. Nasombe. Tukio hilo la makabidhiano limefanyika wakati wa mkutano wa Baraza la Madiwani, lililo fanyika leo tarehe 19.05.2023, katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Mwanga, kwa ajili ya kujadili taarifa za kipindi cha robo ya tatu.

Wakati wa makabidhiano hayo, Mkurugenzi wa Halmashauri Bi. Nasombe amesema kwamba, “Lori hili pamoja na guta tumenunua kupitia mapato ya ndani ya Halmashauri, na ifahamike kwamba, pamoja na shughuli zingine, lori litatumika kama sehemu ya kuongeza mapato ya Halmashauri yetu”, alisema Mkurugenzi Mtendaji. Ameendelea kusema kuwa, Halmashauri ya Mwanga ina mchanga mwingi, hivyo lori lililo nunuliwa litatumika kwa ajili ya shughuli za mchanga wa biashara na mchanga huo utauzwa kwa Halmashauri zilizopo jirani na Wilaya ya Mwanga.

Kwa upande wa Guta, Mkurugenzi amesema, guta litatumika kwenye shughuli mbalimbali za usafi wa mji wa Mwanga. Mji wa Mwanga unahitaji kuwa na vifaa vya usafi na moja wapo ya vifaa vya kusaidia katika usafi ni pamoja na kuwa na usafiri wa kusomba taka, hivyo guta hili litapunguza changamoto iliyo kuwepo, alisema Mkurugenzi.

Naye akipokea lori na guta hilo kwa niaba ya Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Mhe. Dr. Salehe R. Mkwizu amesema kwamba, amefurahishwa sana kwa jitihada zilizofanywa na Waheshimiwa Madiwani pamoja na timu ya Menejimenti ya Halmasahuri kwa kuhakikisha kwamba, wanabuni mradi mzuri, ambao utakwenda kuiingizia Halmashauri mapato kwa njia ya kusambaza mchanga katika Wilaya za jirani kupitia lori hilo. Ameongeza kwamba, lori hilo litasaidia pia katika kurahisisha upatikanaji wa huduma kwenye miradi mbalimbali ya Halmashauri.

Tukio hilo la makabidhiano ya Lori na Guta lilishuhudiwa na Mbunge wa Jimbo la Mwanga Mhe. Joseph Anania Tadayo, ambaye pia aliweza kushiriki katika mkutano wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani. Mhe. Mbunge ametoa pongezi kwa uongozi wa Halmashauri kwa ununuzi wa lori hilo na kutoa rai kwamba, Halmashauri ihakikishe inalitunza vizuri na litumike kwa uangalifu.

Matangazo

  • Tangazo la kazi April 17, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira February 21, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA February 16, 2025
  • Nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ajira January 30, 2025
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • WANANCHI KARIBUNI TUMPOKEE MAKAMU WA RAIS – DC MWAIPAYA

    March 15, 2024
  • SERIKALI YAIPATIA SHULE YA MSINGI MWERO MILIONI 178.3

    October 12, 2023
  • MHE. TADAYO ATOA PONGEZI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO, ASEMA WILAYA INA VIONGOZI SAHIHI

    September 20, 2023
  • KIKUNDI CHA UTAMADUNI KUTOKA MWANGA KIMEULETEA MKOA WA KILIMANJARO USHINDI KWA AWAMU YA PILI MFULULIZO

    August 27, 2023
  • Tazama Yote

Video

Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATANGAZO
  • MIONGOZO
  • MFUMO WA USAJILI WA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI (PREM)
  • Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Huduma za Afya
  • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Maktaba ya Picha
  • Kuomba kibali cha kusafiri nje ya nchi

Viunganishi Linganifu

  • PlanRep
  • Tovuti ya Ikulu
  • UTUMISHI
  • FFARs
  • Tovuti ya Wakala wa Serikali ya Mtandao
  • OR-TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga

    Sanduku la Posta: 176 Mwanga,Kilimanjaro

    Simu ya Mezani: +255 272974343

    Namba ya Simu: +255 272974343

    Barua Pepe: ded@mwangadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

hatimiliki ©2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga . Haki zote zimehifadhiwa